SOMO LA ARDHI, SEHEMU YA KWANZA

KUTAZAMA VIDEO YAKE BONYEZA
HAPA CHINI▼▼


PICHA ZAKE ZOTE AKIWA MTUPU BONYEZA
HAPA CHINI▼▼


Image result for PICHA YA ARDHI
SOMO: KUMBEA  ARDHI

SABABU YA KWANZA

SOMA: MWANZO 3:17-19

Akamwambia Adamu,Kwa kuwa umeisikiliza sauti ya mke wako ,ukala matunda ya mti ambao nalikuagiza,  nikisema,Usiyale; ardhi imelaaniwa kwa ajili yako; kwa uchungu utakula mazao yake siku zote za maisha yako;

Michongoma na miiba itakuzalia , nawe utakula mboga za kondeni; Kwa  jasho la uso wako utakula chakula, hata utakapoirudia ardhi ,ambayo katika hiyo ulitwaliwa ;kwamaana  u mavumbi wewe, nawe mavumbini utarudi.Biblia inasema “Ardhi imelaaniwa kwa ajili yako “ … Neno laana maana yake…..kutokustawi, kutokufanikiwa, kutokufurahi,kutokufikia kiwango cha mafanikio Mungu alicho kikusudia  kwa ajili ya maisha  yako.


Ardhi imepata shida kwa sababu ya laana iliyobebwa na mtu.

SABABU YA PILI
SOMA: MWANZO 4:11-12
Basi sasa umelaaniwa  wewe katika ardhi , iliyofumbua kichwa chake ipokee damu ya ndugu yako kwa mkono wako
Utakapoilima ardhi haitakupa mazao yake ; utakuwa mtoro na mtu asiye na kikoa duniani.

Hi ni tofauti na ile sura ya tatu..surs ys tatu laana iko ndani ya Adamu sura ya nne laana ipo ndani ya Ardhi …maana yake kila atakaye kanyanga ardhi laana itatoka chini na kumfuata
Huwezi kutulia mahali,unajaribu kujenga hapa pana kataa unajaribu kukaa hapa panakataa lakini haujajua ya kwamba unapata shida  kwa sababu ya shida iliyopo kwenye ardhi…uharibifu uliotokea kwenye ardhi unakufanya  kutotulia …Biblia isinge semesha masuala haya ingekua shida sana

Kuna tofauti ya kuombea ardhi ( kuna laana iliyopo ndani ya ardhi na  na laana iliyopo kwa mtu anayetumia ardhi)

SABABU YA TATU
SOMA: 2 NYAKATI 7:12-14
Bwana akamtokaea Sulemani usiku, akamwambia , nimesikis ulivyo omba na mahalia hapa nimejichagulia kuwa nyumba yangu  ya dhabihu .
Nikizifunga mbingu isiwe mvua , tena nikiamuru nzige kula nchi au nikiwapelekea watu wangu tauni;

Ikiwa watu wangu walioitwa kwa jina langu watajinyenekesha na kuomba na kunitafuta uso na kuziacha njia zao mbaya  basi nitasikia kutoka mbinguni nan a kuwasamehe dhambi yao na kuiponya nchi yao


 Nchi ni mipaka yenye ardhi halali na taifa ni kundi la watu waliokubalia kuwa na mfumo wa uongozi wa kuwaunga pamoja
Ndio maaana kweny Biblia familia inaweza kuwa taifa ..na watu wengi sana wengi sana wanapotaka kuliombea taifa …

Haizungumzii  juu ya uponyaji wa watu bali uponyaji wa ardhi amabayo watu wanakaa.


 Mungu anapo weka mstari wa ahadi cheki mwiso wake. Itafsiri Biblia jinsi ilivyo, Cheki Mungu ameahidi nini lasivyo utapata shida sana .

SABABU YA NNE
SOMA: YEREMIA 22:29-30
Ee nchi, nchi, nchi, lisikie neon la Bwana
Bwana asema hivi, Andikeni habri za mtu huyu kwamba hana watoto , kwamba mtu huyu hatafanikiwa siku zote ; maana hapana mtu katika uzao wake akiketi katika kiti cha enzi cha Daudi na kutawala tena katika Yuda.

Unaombaje wakati ardhi imepewa amri na agizo kwamba ; Hautafanikiwa wewe wala watoto wako.Huyu ni Mungu anazungumza nan chi (ardhi)……Maana yake ardhi au udongo unaweza kutunza kumbukumbu….inaweza kufuatilia kumbukumbu zilizopo ndani.

Wakati adhabu inatolewa kwa mtu huyu alikuwa bado hana watoto , kwa hiyo kumbukumbu kwenye ardhi ni kwamba  ni kwamba hana moto na kumbukumbu zina sema kwamba hata atakapopata watoto hata fanikiwa .

Adhabu ilitolewa kwa sababu gani; cheki ule mstari wa 21 …..huyu mtu alifanikiwa mwazoni lakini kutokana na kutotii sauti ya Mungu ; Mungu akasema its ok ngoja niondoe hayo mafanikioa  na ardhi inisaidie kuweka kumbukumbu kwa sababu huyu jamaa yupo duniani  atakanyanga ardhi tu na ardhi ishaandika hana motto na atakapoppata watoto hatawatafanikiwa maisha yao yote.

Fikiria wewe ni motto na umeingia kwenye adhabu ya baba au mama na unatafuta kufanikiwa na haufaninikiwi  sio kwamba akili huna no unazo lakini umezuiliwa kufanikiwa je unaombaje?


SABABU YA TANO
SOMA: MWANZO 28: 10-20
10 Yakobo akatoka  Beer-sheba , kwenda harani 11 Akafika mahali Fulani akalala huko usiku kucha , maana jua lilikuwa  limekuchwa ,akatwaa jiwe moja la mahali pale  akaliweka chini ya kichwa chake , akalala usingizi palapale 12 Akaota ndoto, na tazama ngazi imesimamishwa juu ya nchi, na ncha yake yafika mbinguni .Tena tazama malaika  wanapanda na kushuaka juu ya yake  13   Na tazama Bwana amesimama juu yake , akasema mimi ni Bwana, Mungu wa Ibrahim baba yako na Mungu wa Isaka , nch hii uilalayo ntakupa wewe na uzao wako


 Ninachotaka uone , Ardhi unayolala  ,iwe ni nyumba uliyolala , au ni hotel,au kwenye basi au shambani halafu ghafla  ukaota ndoto , shukuru Mungu kwa sababu kakuonesha kinachoendelea katika ulimwengu wa Roho saa hiyo  saa ingine anaweza akakujulisha tafsiri yake baadae au asikujulishe kabisa … au unaamka unajikuta una hali tofauti na ile uliyokuwa nayo wakati ulipokuwa umelala

Alipo lala ardhi na roho ya umiliki ya mahali pale  ikaamua kumtembelea na kugusa maisha yake jumla , Mungu alijifunua kwake.

Na watu wengi sana wanapata shida au wanakwama kutegemeana na roho ya mahali wanapo lala. Ndio maana usipojua namna ya y kujikung’uta utapata shida sana na kitu ambacho unaweza kuwa umekutana nacho either kwenye hotel.. kikakutesa maisha yako jumla.
Nimeona wengine wamekuwa wakiteseka kutokana na mahali walipo lala wakiwa shuleni(bording)

Piawatumishi wengine  wakienda kwenye huduma  mahali wakatokewa na nuru wanafikiri ni Mungu na maisha yake ya huduma yana badilika completely na  na maana yake hakujua namna ya kuomba ,,,, alijiombea yeye akasahau ardhi ya mahali alipolala na hakuna mtu aliyemfundisha kuomba kwa stail hiyo.


•             
SABABU YA SITA
SOMA: 2 SAMWELI 21:1
Kulikuwa na njaa siku za daudi  muda wa miaka mitatu , mwaka hadi mwaka  naye Daudi akautafuta uso wa Bwana , Bwana akasema ni kwa ajili ya Saul, na nyumba yake yenye damu  kwa kuwa aliwaua hao wagibeoni.

Usishangae sana kuona hali ya njaa  ukasema hii haihusiani na hali ya kiroho ya ardhi.
Ukisoma ule mstari wa 14.. unaona Mungu anaiponya ardhi ;
Kwa hiyo Mungu alikuwa anaponya ili kumsaidia daudi kwenye kipindi chake ambapo kulikuwa na njaa kusiwe na njaa na kuwe na chakula …. Biblia inasema ….. alipata kibali ikaachiliwa Baraka, Baraka iliondolewa makusudi kabisa

Usishangae sana Daudi alikaa na upako lakini njaa ilikuwepo kwanini? Kwa sababu alishindwa kuunganisha shida ya njaa na tatizo la ardhi.  Hadi pale Mungu alipomwonesha .

Biblia inasema akatafuta uso wa Bwana kutaka kujua chanzo.

SABABU YA SABA
SOMA: UFUNUO 12:12- 15
Kwa hiyo shangilieni; enyi mbigu ,nanyi mkaao humo ole wan chi na bahari ! kwa maana Yule ameshuka kwenu kwenye ghadhabu nyingi akijua ya kuwa ana mda mchache tu
Na Yule joka alipoona ametupwa katika nchi alimwudhi mwanamke Yule aliyezaa  mtoto mwanaume
Mwanamke Yule akapewa mabawa mawili ya tai Yule mkubwa ili aruke aende zake nyikani , hata mahali pake, hapo alishwapo kwa wakati na nyakati na nusu ya wakati mbali na nyoka huyo,
Nyoka akatoa katika kinywa chakenyuma ya huyo mwanamke maji kama moto amfanye kuchukuliwa na mto ule.

SABABU YA NANE
SOMA: YOELI  7:9-13
Utaombaje ikiwa hali ya kiroho ya ardhi imesababisha sadaka zizuiliwe kutolewa kanisani.

Wachungaji wapo kanisani wao wanamwomba Mungu awasaidie  watu watoe sadaka sawasawa  Mungu ana sema hapana shida sio kutoa sadaka sawasawa sadaka zilikuz zinakuja ni mimi niliyezizuia  … badala ya kuombea wakristo ombea hali ya ardhi ya nyumbani kwao ..ikishapona ardhi swala la kutoa sadaka litakuwa rahisi sana


SABABU YA TISA
SOMA: KUMBUKUMBU LA TORATI 8 7-12
Nilitaka uone lile neno kujenga nyumba nzuri na kukaa ndani yake  ina mahusiano na Baraka za Mungu juu ya watu walioingizwa kwenye nchi  au kwenye mipaka halali ya umiliki

Ndio maana kati ya adhabu mojawapo inaifikia nchi ni miji kubomolewa au kukosa wakazi, kuwa ukiwa , kuwa mahame;…….laana aliyoilaani Yesu miji ya Bethsaida katiaka nchi ya Israeli tumepita kule ni magofu mpaka leo.

Biblia inazungumza Mungu  akirudia eneo anawapa na uwezo watu wliorudi kujenga pale kwa upya , wanajenga na wana kaa nadni yake . Na wale ambao Mungu aliwabbarikia na wakajenga halafu wakamkorofisha Mungu,  Biblia inasema watajenga na wasikae ndani.



inaendelea>>>>>>




















KWA NAFASI ZA KAZI POPOTE TANZANIA, BONYEZA
HAPA CHINI▼▼

During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip.
[3.00 MB]VIDEO YA ALIKIBA AKIBANDUANA NA JOKATE, BONYEZA
HAPA CHINI▼▼



0 coment�rios: