7. BAADA YA KUMALIZA MAOMBI
HAPA CHINI▼▼
HAPA CHINI▼▼
7. BAADA YA
KUMALIZA MAOMBI
Umalizapo
maombi, tenga muda wa kutulia nyumbani kwako. Epuka haya yafuatayo;
i. Epuka
kwenda kukaa kijiweni.
Ii. Epuka
maongezi ya kipuuzi yasiyokuwa na maana.
Iii. Epuka
kuongea kwa makelele sana, bali uwe mtulivu.
Iv. Epuka
vijiwe vya umbea na masengenyo, maana yanapunguza; utukufu na nguvu.
V. Epuka
kuangali vipindi vya runinga kama filamu au tamthilia zenye matukio ya
kuhuzunisha, au kusikitisha au ya aibu.
Vi. Epuka
kukaa maeneo yenye makelele.
Vii. Kama
wewe ni mchungaji, askofu au kiongozi wa huduma fulani; tulia nyumbani kwako
siku3, siku ya jumapili usihubiri wewe, bali mwachie mwingine ahubiri
madhabahuni. Maana baada ya maombi malaika wataendelea kukuhudumia, huku
wakikujenga utu wa ndani, wakikukarabati utu wa ndani kama watakavyokuwa
wameelekezwa na mungu, hii ni pamoja na kukuvika silaha za mbinguni, vipawa na
karama na kukuumba utu wa ndani. (mt 4:1-11).
Viii. Aidha
jitenge na marafiki wapagani na wasiomcha mungu, mapema tu baada ya kumaliza
maombi. Bali ambatana na wale walio jaa nguvu za mungu na wanao maanisha katika
utumishi na maombi. Luka 9:28-32.
8. FAIDA ZA
KIROHO ZA MAOMBI
i. Maombi ni
silaha.
Ii. Maombi
ni nguvu.
Iii. Maombi
ni ulinzi.
Iv. Maombi
ni dawa.
V. Maombi ni
afya.
9. UPENYO WA
MAOMBI KATIKA KUVUNJA LAANA NA ASILI ZINAZOWATESA WATU.
Zifuatazo ni
aina 8 za asili zinazo watesa wanadamu katika sura ya laana, ambazo, kwa njia
ya maombi ya ukombozi, na kwa msaada wa uongozi wa roho mtakatifu, 1kor
2:10-14, tunafanikiwa kuponyeka na kuwekwa huru kwa jina la yesu kristo wa
nazareth.
Kama
kiongozi wako wa; taifa, mkoa, wilaya, kanisa, msikiti, kampuni, shirika,
kabila au ukoo anasumbuliwa na asili hizi mbaya, atawasumbua sana. Na nivigumu
kutoboza au kustawi kiuchumi, kijamii kiroho na kiutumishi. Tafakari mafundisho
haya ili upate maarifa, halafu uyafanyie kazi kuanzia leo kwa faida yako wewe ,
familia yako na yenu, jamii nzima na kanisa unalolichunga na kulisimamia.
Ukichunguza
kwa makini, utagundua, asili hizi mbaya, ndio chanzo cha ufisadi, wizi na
rushwa , hapa tanzania na duniani mwote.
ASILI HIZI
ZINASUMBUA TAKRIBANI DUNIA NZIMA NA WALE WAKAAO KATIKA USO WA NCHI KUPITIA
MAAENEO HAYA YAFUATAYO;
i. Asili na
laana ya utaifa.
Ii. Asili na
laana ya ukabila.
Iii. Asili
inayotokana na namna ulivyo zaliwa.
Iv. Asili na
laana inayotokana na siku au tarehe uliyozaliwa.
V. Asili inayotokana
na madhabahu za kishetani za ukoo.
Vi. Asili na
laana inayotokana na tabia sugu na mbaya ya kifamilia.
Vii. Asili
inayotokana na maneno uliyotamkiwa ukiwa tumboni.
Viii. Asili
inayotokana na mapito uliyopitia.
I. ASILI
INAYOTOKANA NA UTAIFA
ezekiel 16:3
“useme bwana mungu auambia yeerusalemu hivi;asili yako na kuzaliwa kwako
kwatoka katika nchi ya mkanaani, mwamori alikuwa baba yako, na mama yako
alikuwa mhiti”
kama nchi
imefanya uovu fulani, laana inaingia hadi ardhini. Ukizaliwa hapo laana inakutafuna.
Ezekiel 22:3-4, “ nawe utasema bwana mungu asema mji umwagao damu ndani yake,
ili wakati wake upate kuja, mji ufanyao vinyago juu ya nafsi yake ili ujitie
unajisi, umekuwa na hatia ktk damu yako uliyoimwaga, nawe umekuwa unajisi kwa
vinyago vyako ulivyovifanyanawe umezileeta karibu siku zako, nawe umefika
karibu na miaka yako, basi kwa sababu ya hayo nimekufanya kuwa lawama, kwa
mataifa na kuwa dhihaka ktk nchi zote”
kila taifa
hapa duniani lina wakilishwa na alama ya mnyama. Mfano; tanzania alama ya
mnyama wake ni twiga. Mnyama huyu anashingo ndefu anaona mbali
HAPA CHINI▼▼
During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip.
HAPA CHINI▼▼

0 coment�rios: