8. FAIDA ZA KIROHO ZA MAOMBI
HAPA CHINI▼▼
HAPA CHINI▼▼
8. FAIDA ZA
KIROHO ZA MAOMBI
i. Maombi ni
silaha.
Ii. Maombi
ni nguvu.
Iii. Maombi
ni ulinzi.
Iv. Maombi
ni dawa.
V. Maombi ni
afya.
9. UPENYO WA
MAOMBI KATIKA KUVUNJA LAANA NA ASILI ZINAZOWATESA WATU.
Zifuatazo ni
aina 8 za asili zinazo watesa wanadamu katika sura ya laana, ambazo, kwa njia
ya maombi ya ukombozi, na kwa msaada wa uongozi wa roho mtakatifu, 1kor
2:10-14, tunafanikiwa kuponyeka na kuwekwa huru kwa jina la yesu kristo wa
nazareth.
Kama kiongozi
wako wa; taifa, mkoa, wilaya, kanisa, msikiti, kampuni, shirika, kabila au ukoo
anasumbuliwa na asili hizi mbaya, atawasumbua sana. Na nivigumu kutoboza au
kustawi kiuchumi, kijamii kiroho na kiutumishi. Tafakari mafundisho haya ili
upate maarifa, halafu uyafanyie kazi kuanzia leo kwa faida yako wewe , familia
yako na yenu, jamii nzima na kanisa unalolichunga na kulisimamia.
Ukichunguza
kwa makini, utagundua, asili hizi mbaya, ndio chanzo cha ufisadi, wizi na
rushwa , hapa tanzania na duniani mwote.
ASILI HIZI
ZINASUMBUA TAKRIBANI DUNIA NZIMA NA WALE WAKAAO KATIKA USO WA NCHI KUPITIA
MAAENEO HAYA YAFUATAYO;
i. Asili na
laana ya utaifa.
Ii. Asili na
laana ya ukabila.
Iii. Asili
inayotokana na namna ulivyo zaliwa.
Iv. Asili na
laana inayotokana na siku au tarehe uliyozaliwa.
V. Asili
inayotokana na madhabahu za kishetani za ukoo.
Vi. Asili na
laana inayotokana na tabia sugu na mbaya ya kifamilia.
Vii. Asili
inayotokana na maneno uliyotamkiwa ukiwa tumboni.
Viii. Asili
inayotokana na mapito uliyopitia.
I. ASILI
INAYOTOKANA NA UTAIFA
ezekiel 16:3
“useme bwana mungu auambia yeerusalemu hivi;asili yako na kuzaliwa kwako
kwatoka katika nchi ya mkanaani, mwamori alikuwa baba yako, na mama yako
alikuwa mhiti”
kama nchi
imefanya uovu fulani, laana inaingia hadi ardhini. Ukizaliwa hapo laana
inakutafuna. Ezekiel 22:3-4, “ nawe utasema bwana mungu asema mji umwagao damu
ndani yake, ili wakati wake upate kuja, mji ufanyao vinyago juu ya nafsi yake
ili ujitie unajisi, umekuwa na hatia ktk damu yako uliyoimwaga, nawe umekuwa
unajisi kwa vinyago vyako ulivyovifanyanawe umezileeta karibu siku zako, nawe
umefika karibu na miaka yako, basi kwa sababu ya hayo nimekufanya kuwa lawama,
kwa mataifa na kuwa dhihaka ktk nchi zote”
kila taifa
hapa duniani lina wakilishwa na alama ya mnyama. Mfano; tanzania alama ya
mnyama wake ni twiga. Mnyama huyu anashingo ndefu anaona mbali na kutazama
wakati mwingine, wenzake wakiliwa na chui, na yeye hachukui hatua yoyote. Hii
ni hali ya kuzubaa, hofu na kutojitambua. Nchi ta tanzania imekuwa ikiibiwa
rasilimali zake kama; madini, lakini watu walikuwa wakitazama na kusema bila ya
kuchukua hatua. Lakini ashukuriwe mungu, tanzania imempata rais; magufuli,
aliyeliona hili na kuwarudishia wa-tanzania haki ya kufaidi keki ya taifa.
Alama ya
mnyama ya kenya ni jogoo. Hii ni alama iletayo ufuska na ukahaba. Na hili ndilo
tatizo la nchi ya kenya kiroho. Alama ya mnyama ya marekani ni ndege aitwaye;
tai. Maana ya tai ni ufalme uliotukuka. Ndio maana marekani inatawala dunia;
kiuchumi, kisayansi na kijeshi.
HAPA CHINI▼▼
During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip.
HAPA CHINI▼▼

0 coment�rios: