ZIJUE SIRI KUBWA ZA SHETANI
HAPA CHINI▼▼
HAPA CHINI▼▼
INSI KUZIMU
ILIVYO
Kuzimu ni
nini?
Kuzimu ni
mahali ambapo ni makao ya shetani na Joka kuu pamoja na malaika zake na mapepo
na majini. Kuzimu ipo chini ya ardhi ya 900. Kuzimu kuna miji kama hapa
ulimwenguni palivyo ila tofauti yake kuzimu pamejengwa kwa mpangilio, kuna
magorofa ambayo hapa duniani hamna, kuna viwanda vya magari, nguo, vyakula,
silaha na vinginevyo vingi.
BENKI YA
KUZIMU (JLM BANK)
Benki hii
kirefu chake ni Joka Kuu, Lusifa, Maxwell benki. Ndiyo benki ambayo ilikuwa
inawapa watu pesa huku ulimwenguni pamoja na freemason ila nimeichoma na mtaona
baadhi ya nchi zilizokuwa zikipata pesa kutoka kwenye benki hii, mtaona uchumi
ukishuka, au mabenki yakififia na pia matajiri waliokuwa katika mtandao wa
freemason wataporomoka. Ni wakati sasa ya watu wanaomtegemea MUNGU kutajirika
na kumiliki. MUNGU anachukia sana na kazi hii ataifanya yeye mtakapoyaona hayo
msishangae. Benki hii ina wanachama wengi sana waliopo duniani, wakiwemo
manabii, wachungaji, wainjilisti, mitume, waalimu, wachezaji mpira maarufu,
wasanii maarufu, idadi kubwa wanachukua pesa huko na ni watenda kazi wa
shetani (Black Money). Wana pesa ambazo
ukiwakagua kimahesabu utaona ni pesa zisizojulikana zimetoka wapi asili yake.
MAVAZI YA
KUZIMU
A) WANAWAKE
1. Mavazi haya ya kuzimu ambayo wanawake
wanayovaa hapa ulimwenguni pasipokujua na wengine wakijua kabisa ni ya shetani
ambayo yanabuniwa na Yezebeli ili kila anayevaa tayari amemfungia mwanamke
baraka zake na pia kuyateka maisha yake na kumfungia asiende mbinguni, sababu
katika mwili wake yeye anakuwa ni kahaba kiroho mpaka kimwili haijalishi
kimwili yeye hatendi mambo ya ukahaba, ila kutokana na hilo vazi alilolivaa
basi tayari anakuwa amevaa ukahaba na mapepo huishi juu yake bila kikwazo
chochote.
2.
Mavazi haya asili yake ni kuzimu na mengine yamebadilishwa kwa kuandikwa
kinyume mfano MAX wa kuzimu ikaandikwa WAX, huyu MAX yeye ndiye aliyekuwa namba
tatu katika ufalme wa shetani na unapovaa kitu kilichoandikwa kwa jina lake
tayari na wewe unamsujudu mzimu wa MAX na kuporwa baraka za maisha yako. Sasa
wakawapiga watu upofu wakavipa vitu majina WAX- (MAX), pia NIDA nayo asili yake
ni kuzimu.
3. Yapo mavazi ya mwanamke ya kuonyesha
tumbo wazi.
4. Nguo za kuonyesha matiti na kuonyesha
mgongo.
5. Chupi za kike zenye zip na zenye
mifuko ya kuwekea pesa.
6. Chupi zilizochorwa moyo au zimeandikwa
katika nguo za ndani za kike mfano; girlfriend, boyfriend, na maneno mengi tu
ya ajabu, karibu, furahi, nakupenda mpenzi.
7. Nguo za transparent.
8. Stocking zote unapovaa unakuwa unavaa
miguu ya majini.
9. Vimini, katika ulimwengu wa roho wewe
ni kahaba maarufu.
10. Nguo zote zenye magamba au picha mfano
wa nyoka, mamba, na nyingine zenye madoa doakama ya chui.
11. Viatu vyote virefu- unapovivaa tayari
unakuwa unaitwa twiga wa kuzimu na madhara yake maisha yako yanaibiwa ni kwa
kupitia mlango huo.
12.
Pochi za mikononi pamoja na mabegi yote yenye scales au magamba au viatu
mfano kamamagamba, ukiona tu utajua unapovitumia unakuwa umebeba nyoka na roho
za shetani zinakumiliki. Inakuwa ni pamoja na mikanda yeyote yenye mfano wa
picha za magamba.
13. Nguo zenye mipasuko mbele, mfano katika
skirt unapoivaa ina maana umewafungulia mapepo wa uzinzi waingie katika mwili
wako na kwa njia hiyo ni lazima wataingia tu sababu wanao mlango.
14. Eyeliner- unapopaka katika jicho lako unakuwa
unajiwekea alama na wewe ni mfuasi wa shetani, pia napenda uelewe kuwa na
shetani na yeye huwa anajipaka eyeliner (wanja) katika jicho lake la kulia ila
yeye hulizungushia mchoro wa duara, na unapojipaka wanja basi unakuwa wewe ni
mali yake yamkini hata haujui na unampenda MUNGU.
15. Kukata nyusi- unapokata hizo nywele
unakuwa unayakata maisha yako na ndio sababu maisha ni magumu kwa wanawake
wengi hiyo ni sababu moja wapo.
16.
Kuvaa shanga za kiunoni- kila unapovaa shanga katika kiuno chako unakuwa
umejifungia majini, hata ukijifungia cheni ya gold au silver, uelewe tayari
unayo majini katika mwili wako na madhara yake wanandoa wanakuwa wazinzi,
faraka, ndoto za zinaa, mikosi na balaa, vitu hivyo havifai katika jina la
YESU. Unapovivaa unakuwa unaliharibu hekalu la MUNGU kwa kufunga ndoa na mapepo
katika kiuno chako, au kwa lugha nyingine hizo shanga ni pete za majini na
unapovaa unajifungisha ndoa na wao katika ulimwengu wa roho.
17. Nguo za kubana na kuonyesha maumbile
yako yalivyo, jinsi ulivyoumbwa mfano hili siyo jambo jipya. Embu tembea katika
maeneo mbali mbali utaona wanawake wamevaa suruali zinazoonyesha figure zao,
sasa ujiulize wanamuonyesha nani? Jibu, wanawaletea wanaume maroho ya ushawishi
ya uzinzi hivyo wanapovaa mavazi hayo tayari wao ni makahaba. Mavazi haya yameletwa
ulimwenguni ili uzinzi ustawi na kuwateka wanaume katika majaribu, ili amri za
MUNGU zivunjwe na kila anayevaa hivyo uelewe kwanza ni machukizo mbele za MUNGU
na pia unatumikishwa katika upande wa shetani eidha kwa kujua au kutokujua.
Sasa ufunguke, uyasitiri maungo yako au mwili, ili upone roho yako.
18. Kuvaa mavazi ya kiume.
19.
Kuvaa hereni kubwa kuliko sikio- unakuwa unavaa hereni ya mama wa
makahaba. Hereni salama ni ile ambayo ni ndogo ambayo inakuwa sawa na kasehemu
cha kuwekea tundu la sikio, hizo kubwa kama bangili hizo ni za mama wa
makahaba.
20. Kila rangi unayoipaka katika kucha yako
uelewe ni dhambi na unayafunika maisha yako usije ukafanikiwa, na pia yanaibiwa
na yanapelekwa kuzimu unapewa wewe ya mapepo ambayo ni shida tupu, hata kupaka
hyena kujichora mwili, matatoo yote ni dhambi. Unapojichora tattoo, unajiwekea
alama wewe ni freemason, ni wa kuzimu siku zote.
21.
Kila product yenye neno ultra, iwe katika kitu chochote, kinatoka kuzimu
kuja kuiba vitu vya wanadamu na kuwaharibu.
22.
Unapoweka rollers kichwani, unakuwa umejiwekea funza wa kuzimu katika
akili zako. Na akili zako na ufahamu kuibiwa na hao funza wa kuzimu na matokeo
yake mtu unakuwa haujielewi elewi na akili zinadumaa.
23. Kutairiwa wanawake hiyo ni dhambi MUNGU
hajamruhusu mwanamke atairiwe. Mwanamke anapotairiwa kile kiungo kilichokatwa
kinapelekwa kuzimu na kumuibia mwanamke uthamani wa uke wake na uzao wake na
kuharibu ndoa na kufanya mwanamke achanike wakati wa kuzaa na kijiwekea alama
wewe ni wa mapepo.
24.
Pedicure- unaposugua miguu salooni unakuwa unayaondoa maisha yako na
unamkufuru MUNGU yeye aliyekuumba na kukuwekea utayari wako katika miguu.
B) WANAUME
• Mavazi ya wanaume ambayo asili yake ni
kutoka kuzimu katika viwanda vya kuzimu yapo mengi sana ila nitaelezea kwa
kiasi fulani ili mpate picha na mpone.
• Mavazi yote yenye nembo za ajabu,
mfano T-shirt inapicha ya mti wa bangi au sigara.
• Nguo yenye picha ufunguo- ina maana
ule ufunguo umeivaa hiyo nguo ufunguo huo umekufungia usiende mbinguni na
ufanikiwe kumkufuru mwenyezi MUNGU, na hata katika cheni, ukikuta kamaufunguo
uelewe ni hatari tupu, hata cheni yenye msalaba ina maana uelewe unapovaa
unakuwa wewe umelaaniwa na maisha yako yanasulubiwa katika ulimwengu wa roho.
Pia uelewe hakuna msalaba mtakatifu kabisa hata ule aliouliwa nao YESU siyo
msalaba mtakatifu ni msalaba wa laana na ndio sababu damu yake ilipomwagika
pale msalabani ikatuondolea laana, sasa shetani akabuni njia nyingine na
kuwapiga upofu watu waone msalaba ni kitu kizuri na kumbe siyo. Unajihukumu
mwenyewe, hata kuzikwa na msalaba ni makosa.
• Nikuulize swali unapozikwa je unaenda
kuhukumiwa na wewe? Au je msalaba ni alama ya mkristo? Jibu siyo. Watumishi
wanawapotosha watu kwa kumuamini shetani na kumfanya YESU akose watu wa kwenda
mbinguni. Jiulize swali kina Ibrahim, Isaka na Yakobo katika makaburi yaoipo
misalaba? Jibu hakuna. Na kamasisi tu uzao wa Ibrahim, kwa nini tusiige mfano
wa Baba yetu Ibrahim? Na zaidi je YESU yeye alizikwa na msalaba? Jibu hapana,
je YESU si ndiye kweli na alionyesha njia ili tuifuate. Sasa swali, kama
alionyesha njia, tuanze katika maisha yake je uliletwa msalaba? Jibu hapana.
Sasa hii misalaba madhara yake unapokufa ukawekewa katika kaburi inakufanya
wewe uliyekufa usulubishwe katika ulimwengu wa roho, na wote waliozikwa na
misalaba wanateseka katika ulimwengu wa roho na shetani anamnyanyulia
MUNGU si unaona msalaba wanataka wenyewe
niwasulubishe na MUNGU ni MUNGU wa haki analiangalia neno lake, kataa kuzikwa
na msalaba iga YESU alivyozikwa, iga mazishi ya Ibrahim, Isaka na Yakobo,
pamoja na mitume na manabii wa MUNGU wa kweli waliopita ambao kwa heshima MUNGU
amewaita wazee 24. Kataa huo uchafu watu wanapotezwa, amenituma YESU niwaeleze
ukweli utakaye sikia utapona, utakaye kaza shingo damu yake haitamlilia MUNGU
katika mikono yake.
• Boxer- hizi ni chupi za nyani wa
kuzimu unapozivaa unaibiwa na mapepo
uthamani wa nguvu zako za kiume na pia unaolewa na majini katika ulimwengu wa
roho unakuwa wewe ni shoga. Na mlango ni hii boxer.
• Nguo zote zenye zipu kifuani tu,
unapokuwa na nguo ya aina hiyo kila unapofungua zip unakuwa unayachana maisha
yako katika moyo wako na unapofungua zipu hiyo unakuwa unayafungua usifanikiwe.
• Mikanda yenye bastola au bunduki-
unakuwa umevaa jini bedui katika maisha yako na makata hivyo wanayaharibu.
Mikanda yote yenye sura za watu katika bacol au nembo yeyote ile uelewe umeivaa
kuzimu na kuzimu inajiunganisha na wewe kupitia katika kitovu chako kwa njia ya
bacol ya mkanda.
•
Kusuka rasta- unakuwa umevaa pepo kichaa na mara nyingi huja kutokea
katika mwili mtu anakuwa kichaa, na pia unakuwa na mambo ya freemason
pasipokujua na wengine wanajua.
• Kuvaa suruali mlegezo- hiyo ni dalili
wewe ni shoga katika ulimwengu wa roho na unapovaa hivyo unayaita majini
yaliyokuoa katika ulimwengu wa roho yeye yazini na wewe.
• Kofia zote ambazo vijana wanasema ni
za kileo zote zinatoka kuzimu na kijana anapovaa akili yake huibiwa ndoto zake
zote hubakia boksi, na ndio sababu idadi kubwa ya wanaovaa hizo kofia fuatilia
utakuta ni wavuta bangi, walaji wa cocaine, wahuni, wameharibika ni sababu ya
hizo kofia zenye majina ya ajabu na ya wanamziki na watu ambao tayari ni wanachama
wa freemason..
• Nguo za kubana kupitiliza mfano
T-shirt, suruali, inakubana unayaonyesha maungo yako jinsi yalivyo.
• Kusuka nywele- unaposuka tayari
uelewe wewe tayari ni mke wa jini fulani
kuzimu, na unaye mume unayemtumikia katika ulimwengu wa roho japo wanadamu hapa
duniani wanakuwa ni wanaume tu ila ni boksi.
• Mashati yenye mipasuko katika sehemu
za mifuko, mashati haya watu hawapendi kuyachomekea sababu yana mipasuko, sina
haja ya kuelezea sana, yapokama Kaunda suti. Nguo yeyote ya mwanaume yenye
mipasuko sehemu za kiunoni hizo zote ni za kuzimu, unapoivaa uchumi wako
unapasuka na maisha yako yanakuwa ni ya shida shida tu.
•
Nguo zenye sura ya nyoka, mamba, chui, madoa doa, viatu venye magamba au
ukiviona vina sura ya magamba haijalishi ya aina gani havifai, ni viatu vya
kuzimu.
•
Viatu vilivyochorwa tick (Ö) au X ina maana hiyo tick unakubali jina
lako liandikwe katika ufalme wa shetani na X ina maana maisha yako yanatiwa X
yote.
•
Kila kitu chenye jina MAX uelewe asili yake ni kuzimu na kina
madhara.
•
Viatu vyenye majina ya ajabu na vingi havielezeki hata sitaweza kuviacha
kuandika even kwa 30 days, omba ROHO MTAKATIFU akufunulie wakati unahitaji
viatu omba atakuongoza na roho ikigoma tu wacha, hiyo ni dalili.
•
Kofia zote za duara zisizo na chepeo halafu zina kamba au kinaninginia
unapozivaa, unakuwa umeweka kwato ya jini katika maisha yako na nyingine ni
kofia za duara ile zimetobolewa mashimo mengi zote hizo ni makwato ya majini na
shetani amewaletea wanadamu ili wawe wajinga na wasimjue MUNGU wa kweli siku
zote za maisha yao, sasa uamuzi unao wewe utavaa makwato ya majini au
utayatupa.
•
Mwanaume anapovaa bangili (ringi) hapo unakuwa umejiingiza na kufunga
ndoa na shetani, ila utakapoivua tu tayari umevunja ndoa na shetani, ringi hizi
watu wengi wanafungulia vinywaji au kutumia kama silaha wakati wa kupigana na
zaidi mwanaume hautakiwi kuvaa bangili katika mkono kabisa, unapovaa unafunga
ndoa na shetani, na pia hata wengine wanafunga nyuzi katika mikono, hapo tayari
umefunga ndoa na shetani na wewe ni mtu wa shetani, sasa amua, ila wengi
wanajua kabisa ni masharti waliyopewa kuzimu inawezekana ni raia, mfalme, au
mtu wa karibu, utashangaa siku zote ipo katika mkono, watu wanafikiri ni
urembo, hapana hilo ni agano la shetani.
• Kutoboa masikio au sikio- iwe ni mtu
yeyote yule wapo hata wachungaji wanatoboa masikio na kuvaa hereni- hao wote
katika ulimwengu wa roho ni mashoga wala YESU hana ushirikiano nao. YESU hana
mashoga. Jiulize hawa wanatokea wapi? Ni mashoga wanaoeneza injili ya yesu wa
uongo na kuwapeleka watu kuzimu.
• Shetani aliwateka wengi hata
waliookoka katika maeneo mbali mbali ila YESU amenituma niwaeleze ukweli sababu
anaona mnavyoteseka na hampati majibu na akaniambia Hebron haya mateso yasingewapata
wanadamu ila yamewapata sababu niliowaita wamemgeukia shetani na ndio anakuwa
baba yao hivyo wanafanya kazi ya baba yao ambao ni lusifa hata wanangu
wanateseka na kuangamia ila nimefurahi sasa sababu upo wewe Hebron, nimekupata
wewe uliyenikubali kunitumikia na kuyatenda yale ambayo mimi na BABA yangu
mbinguni na ROHO MTAKATIFU ndio tunayoyataka, na pia Hebron nataka uelewe kabla
ya wewe kuumbwa MUNGU alishakuandaa na akajua ikifika muda wake atakusimamisha
na anajua utaifanya kazi yake sababu anajua yeye aliyokuumba hivyo usiogope
lolote. MUNGU alikuficha siku zote kama vile alivofichwa Musa akatunzwa na
Farao hakuuwawa, hivyo ndivyo ilivyo kwako na utaifanya kazi yangu vizuri sana
na kuzimu haitakuweza milele. Sasa nimefurahi sababu kila akusikilizaye na
kubadilika na kutii unayowaeleza atapona sababu ndani yako MUNGU ameweka majibu
ya viumbe vyote na kila kitu. Maneno haya kila nikumbukapo nasikia machozi
yananitoka kwa ajili ya watumishi walivyomsaliti YESU hata na kugeuka
freemason, wachawi, waongo, wanyang’anyi ila usiogope ninajua kinachokuja na
watu mtamfurahia YESU WA NAZARETI.
•
Haya magauni ya harusi ya kuzimu- kila gauni la harusi lenye kuburuza
mkia- ina maana ule mkia unaoburuzwa ni mkia wa lusifa. Lusifa anao mkia ila
nilimkata mkia wake. Unapofunga ndoa na gauni la jinsi hiyo ndoa yako unampa
lusifa. Na unapovaa gauni la harusi unaonyesha mabega na manyonyo unakuwa
unavaa gauni la pepo kuzimu la kufungia harusi zao na wewe unajiunganisha hivyo
hivyo na mama wa makahaba. Ukiangalia leo hii watu ndio wanasema ndio fashion.
Hii siyo fashion mimi nasema yote ili nisije nikaulizwa na YESU siku ile ya
mwisho sikuwaeleza ukweli ili mpone na usijisumbue hata kama jina lake YESU
linatajwa haiunganishi hiyo ndoa sababu la hilo vazi mimi pia nilikuwa sijui,
ila sasa uelewe ili upone. Wanawake mkatae sasa msiwekewe tena mikia ya shetani
ukauburuza.
• Kujipaka rangi ya kucha. Kila rangi
inayo maana yake, rangi zote ulimwengu maana za kucha asili yake ni kuzimu.
Ukipaka hizo rangi unaharibu maisha yako pasipo wewe kujua na hizo rangi
zimechanganywa na rangi za ngozi za watu waliokufa baada ya kuchunwa ngozi zao
na mashetani wakala nyama zao. Sasa unapozipaka unakaribisha majini katika
maisha yako na uthamani wa mikono unaibiwa, hata pesa hazikai wala kazi zako
hazibarikiwi sababu MUNGU hana mahali pa kupitishia baraka katika mikono yako
sababu shetani ameshaweka vitu vyake katika mikono yako.
•
Kucha za bandia- hizo ni kucha za majini walizozikata kuzimu kama vile na wewe unavyokataga zako, unapozivaa
kucha za bandia unakuwa unawapa majini
uthamani wa kucha zako ambapo katika kucha zako zipo Baraka wanaziiba
zako unabakia na zao na unakuwa tayari umeingia urafiki na majini pasipo kujua
japo wengine wanajua na wanayapenda majini.
•
Nguo zote ambazo za wanawake zinakuwa na mipasuko zote hizo asili yake
unakuwa unajitengenezea mkia wa lusifa na lusifa kuitumia njia hiyo kukupata.
•
Nguo ambazo ni short ni fupi zinazoonyesha mapaja na hupendwa sana
kuvaliwa na masecretary katika ofisi mbali mbali, sasa hilo vazi kila
unapolivaa ina maana unamkubali shetani kabisa ila sasa uelewe haifai.
•
Kuvaa pini katika ulimi, unapotoboa ulimi tayari unampa mama wa makahaba
ulimi wako na vitu vyako kisha unabakia na ulimi wake na anakamata fahamu zako na
kisha kwa kutumia ulimi huo uliovalisha pini anautumia kunyonya viungo vya siri
vya kiume na mwanaume atakayefanyiwa hivyo anakuwa viungo vyake vimemezwa na
Yezebeli katika ulimwengu wa roho kupitia mwili wa mwanadamu. Kazi kubwa ni
kumeza viungo vya kiume kwa njia ya kuvinyonya na pia hata ukinyonywa ulimi au
kiungo chochote na mtu aliyetoboa ulimi, uelewe anatumika kumeza vitu vya watu
na ndani yake yupo Yezebeli na ndiyo sababu ametoboa ulimi. Ilikumjua mtu
mwenye Yezebeli au Yezebeli anaishi ndani yake angalia ulimi ametoboa na katika
ulimwengu wa roho na yeye anakuwa ni mtoto wa Yezebeli na Yezebeli anauhalali
sababu anayo alama yake katika ulimi.
•
Alama nyingine ya Yezebeli ni inayokufanya kuunganika katika kitovu cha
mtu na Yezebeli utaona mtu anatoboa kitovu au anatoboa pembeni ya kitovu, hii
ina maana amejiunganisha kupitia kitovu,
huyo mwanadamu atakuwa anatabia za kipepo, hata kutembea uchi, mlevi, hafai
kuolewa au kuwa mke bora, sababu atakuwa ni kahaba.
• Na wengine wanatoboa (wanawake)
wanakitoboa KISIMI wanakivalisha pini, yaani ukiona hivyo uelewe kile kiungo
cha kike alicho nacho huyo binti siyo cha bindadamu ni cha pepo, kama alivyo
mama wa makahaba na yeye amejitoboa na anavaa pin kubwa ya dhahabu ambayo ina
urefu wa 30 cm na unene wa 2 cm. Mmh, haya mambo yanatisha kiasi hata mimi
nimeandika huku nilikataa nisione alivyo ila YESU amenitia nguvu ili niwaeleze
mjiepushe msifikiri ni vizuri hayo sasa yaelewe, okoka uvitupe hivyo vitu.
• Na alama nyingine ya mtu mwenye
Yezebeli anavaa pini katika macho, bangili miguuni hasa bangili moja katika
mguu mmoja na kujichora katika mapaja au kuchora moyo na alama ya mshale au
kuandika majina ya watu katika mapaja au tumboni, mgongoni au popote katika
mwili.
MALAPA MEKUNDU
• Malapa yote yenye rangi ya nyekundu
siyo salama sababu unapoyavaa unaibiwa maisha yako na shetani. Na katika haya
malapa shetani aliweka pepo kivutio na ndio sababu utaona idadi kubwa ya watu
wana malapa mekundu, haya yapo hapa ulimwenguni kwa ajili ya kuharibu maisha ya
mwanadamu. Unapoyavaa maisha yako yanakuwa ni magumu sababu yale yako uliyopewa
na MUNGU yanaibiwa utayari wako katika miguu na kukufanya wewe kubakia na
maisha hatari ndio sababu ya hiyo red.
PIPI KIFUA, PIPI KIJITI
• Kila unapokula pipi kifua uelewe
unakuwa unakula makamasi ya majini na unakula TB, unakula ukimwi na magonjwa ya
kifua pamoja na pumu.
• Pipi kijiti- kila unapokula pipi
kijiti ina maana ile pipi ndio dunia na kile kijiti kilichoichoma hiyo pipi ni
wewe unaichoma dunia katika maisha yako usifanikiwe, na maana nyingine ni wewe
unajiharibu maisha yako.
VIFAA VYA
UJENZI (Baadhi)
•
Mabati- yapo mabati yanayotoka katika nchi za America na South Africa ni
tofauti na mabati yaliyozoeleka miaka mingi katika nchi mbali mbali. Unapoyatumia
katika nyumba yako tayari paa lako umelifunika na shetani na ni vigumu YESU
hata Malaika kuja katika nyumba za watoto wa MUNGU sababu ni haya mabati,
tayari kuna kitu cha shetani.
•
Vipo vitasa vya milango vyenye rangi yeyote ya brown, unapotumia vile
vitasa katika nyumba yako vinatumika sasa ndio mlango wa majini kuja kwako na
kuingia bila tatizo na kuiba vitu vya watu kwa njia ya kipepo, na hata ukifunga
na ufunguo wana kuja na kuvifungua na kuingia kimwili kabisa katika nyumba
•
Rangi- zipo rangi zinaanza na herufi S na nyingine herufi C unapopaka
ragi hizi katika nyumba yako unakuwa umepaka makamasi ya majini katika nyumba
yako, makufuru, balaa mikosi na kukufanya Baraka za MUNGU zisije katika nyumba
yako na hata Malaika kuja kwako, hii ni sababu ni uchafu na watu hawajui, asili
yake ni kuzimu, hazikomboleki wala hazitakasiki. YESU anawasaidia watu wote ili
wapone. Unapoipaka katika nyumba, unapaka chuma ulete na ni mlango wa majini
kuja kwako sababu upo na vitu vyao
>>>>>Ila
shetani alibuni viwanda ili aharibu maisha ya watu,
YESU WA
NAZARETI anawapenda sana mrejeeni yeye, wakati wake umefika wa kurudi,
usidanganyike tena, katika makanisa mkifundishwa kinyume na biblia hao ni
maajenti wa shetani ili kufaulisha kazi zake za kuua roho za wana wa MUNGU.
MADAHARA YA
KUVAA WIGI (WEAVE).
1. Kwanza kabisa uelewe katika kichwa chako
unakuwa umevaa nywele za siri za majini na pia umevaa pepo.
2. Madhara yake unakuwa umeuzuia utukufu wa
MUNGU ushuke katika kichwa chako sababu tayari upo utukufu wa shetani katika
kichwa chako yamkini unavaa pasipo kujua au kwa kujua.
3. Akili yako na maono yako yanaibiwa na
shetani na kisha shetani anakuwekea ya kwake pasipo wewe kujua.
4. Mawigi yanakufanya usiweze kusimama
katika wokovu.
5. Mawigi haya yanaletwa ulimwenguni ili
kuwazuia wanawake wasiende mbinguni sababu shetani anajua kabisa katika mioyo
ya wanawake wengi wanampenda YESUkama vile kipindi ambacho YESU alikuwepo
ilionekana wanawake ndio waliokuwa wengi na hata sasa ukiangalia idadi kubwa ya
wanawake ndio wengi waliookoka kuliko wanaume.
6. Ndani yako mizimu inaishi.
7. Mapepo yanakuwa na uhalali wa kuishi
ndani yako na wachawi hukuloga kwa urahisi na kukuibia vitu vyako.
8. Unakuwa unayo alama ya mama wa makahaba
(Yezebel) sababu unavaa vitu vyake.
NOTE: vitu
vyote venye asili ya kuzimu ni vitu vya shetani hivyo havikomboleki wala
havitakasiki, wala havibarikiki kwa jina la YESU WA NAZARETI sababu hauwezi
ukazibariki kazi za shetani kwa jina la YESU, bali kazi za shetani huharibiwa
kwa jina la YESU WA NAZARETI.
9. Humfanya mwanamke kuwa na tabia za
uzinzi, asiweze kutulia katika ndoa na huwaletea ndoto za uzinzi, na kuwaibia
wanawake baraka zao walizoumbwa nazo na mwenyezi MUNGU.
10. Kila anayevaa nywele hizi katika ulimwengu wa
roho yeye ni mke wa jini pasipo kujijua na wengine hujijua, haijalishi umeokoka
au haujaokoka, ukweli ndio huo.
11. Katika ulimwengu wa roho jina lako unaitwa
kahaba, na mfano rahisi tu angalia watu wenye tabia za ukahaba katika ulimwengu
wote leo hii kwa upande wa watu weusi. Hata katika street wale wanaofanya
uzinzi kujiuza mwili tazama katika kichwa utaona mawigi.
12. Mwanawake anapokufa akazikwa na wigi tayari
anajifungia asinyakuliwe katika unyakuo sababu anacho cha kuzimu na MUNGU
anaangalia haki amenituma niseme ukweli ili watu wapone, sababu shetani
alishaona kuwa watu waliookoka hatawapata sasa akabuni njia hii ya mawigi,
nikuulize swali labda umeokoka unampenda YESU na unaishi maisha matakatifu
lakini katika kichwa chako umevaa mapepo je utukufu wa MUNGU utashuka katika
maisha yako? Jibu hakuna na je MUNGU atakubarikije wakati unavaa kofia ya
shetani?
13. Na majini haya ambayo yanayotoa nywele za
siri ambazo ndizo wigi, majini haya nguo za ndani wale wa kiume wanavaa boxer
na majini ya kike yanavaa BIKINI. Ukubwa wa size ya kiuno ni kama mita 4 kiuno.
14. Ufahamu unashikiliwa na shetani na
anayeongoza maisha yako na hapo ndipo unapotea na kuacha njia za MUNGU pasipo
kupenda hii ni sababu moja wapo ni hizi zinazovaliwa zinatoka katika viungo vya
siri ya majini.
HAPA CHINI▼▼
During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip.
HAPA CHINI▼▼
IFAHAMU MIZIMU NA MAJINI NA UNDANI WAKE KATIKA KUOMBA LOLOTE MALI,UTAJIRI, UPONYAJI N.K......
ReplyDeleteDOKTA MDIRO whatsp/call +255 742162843
ANGALIZO HUSIJARIBU JAMBO ULIZA KWA MAELEKEZO
Omba lolotee kwa njiaa ya mizimu mungu atatenda asema DOKTA MDIRO,
Kuna watu wakisikia neno mzimu wanatimkaa mbio lakini wakisikia neno mtakatifu wanabarikiwa na wakati ni kitu kilekile kasoro jina tu.
Daktari wa kiafrika anaitwa mganga wa kienyeji na wa kigeni ni Mtaalamu au mwanasayansi.
Ibada takatifu zinaitwa Kusali na za lienyeji zinaitwa matambiko amka wacha kulala.
watakatifu wa kiafrika wanaitwa mizimu, Mzimu nii binadamu yeyote yule aloachaa mwili na ANAISHIII na mungu karibu, kwaiyo sisi sote nii mizimu watarajiwa, unapomfananisha Mzimu na shetaani nikukataa ukuu wa afrikaa, wazungu Mzimu uloishiii vizuri dunian wanauita mtakatifu sisi mizimu iloishi vizuri na VIBAYA duniani tunaayaita mashetani.
Ndiomaana ktk orodha ya watakatifu karibu wote wazungu, waafrika wa kuwahesabu, @highlight
WAZUNGU KWENDA MAKABURINI WANAITA HIJJA , SISI KWENDA MAKABURINI TUNAITA MATANDIKO, HATA MZIMU WA NYERERE UMECHUKUWA MUDA KWELI KUFANYWA MTAKATIFU KWASABABU HAKUWA MZUGU.
🤫DOKTA MDIRO ANASEMA MIZIMU INAFAIDA KUBWA KTK MAISHA YA MUWAFRIKA, KUIKATAA NI KUKUBALI BALAAA NA KUKUBALI NI CHAZO CHA BARAKA.
NA MAISHA MEMA APA DUNIANI,
😒 Mikosi, manyanyaso balaa, na gundu ulizonazo haziwezi kuondoka mpk ukutane na mizimu yenu .
Dokta MDIRO ANAKUAMBIA MIZIMU YA BIBI YAKO NA BABU YAKO INAA MAJIBU YA MATATIZO YAKO.
UTAJIRI AU FEDHA ZA NDAGU AU MAJINI KWA MUDA MFUPI
ReplyDelete(Kwanza kabisa nataka kukwambia kwamba hakika utajili ni azina kutoka kwa mwenyezi mungu na pia kuna viumbe alio wapa mamlaka na nguvu ya kumiliki mali)
MPAKA MASAA 72(SIKU3) PAPO HAPO KWA MASHARTI MAALUM KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI YA KUTUNZA SIRI HII SIO MZAHA......
KUMBUKA MALIPO NI BAADA YA KUFANIKIWA
kwa maelezo kamili piga namba +255742162843
(KWANINI USUMBUKE,HACHA KUTANGATANGA, NA MAISHA NI MAFUPI PUUZA UONGOFU WA KUWA MTU KUWA TAJIRI NI DHAMBI WAKATI AKUAMBIAE YEYE NI TAJIRI (Tumia ufahamu kujinasuaUTAJIRI WA NDAGU(MASHARTI) NDANI YA MASAA 72(SIKU TATU) PAPO HAPO KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI YA KUTUNZA SIRI HII SIO MZAHA......
NAITWA DR, MDIRO piga 0742162843. KAMA UNAITAJI PESA ZA MAJINI AU NDAGU YA MALI AU ULINZI KWA MALI YAKO
(HUSITUME SMS PIGA SIMU KUHEPUKA MATAPELI)
MATIBABU MENGINEYO NI KAMA UTULIVU KATIKA NDOA, AU KUMVUTA UMPENDAE, KUONDOA MIKOSI, MABALAA, KUOSHA NYOTA, KUITAMBUA NYOTA YAKO NA ASILI YA KAZI YAKE, KAMA UNASUMBULIWA NA MAJINI MAHABA NA SHIDA YA UZAZI.
NIPIGIE 0742162843. KIKUBWA NI KUSIKILIZA NA KUFATA MASHARTI. ANGALIZO USITUME SMS PIGA NA UWE NA NIA.
Everyone
(kuhusu utajiri au pesa) KABLA YA KUPIGA SIMU ZINGATIA YAFUATAYO
1. uwe una umri wa miaka 18+
2. uwe tayari kupokea masharti yote
3.uwe na uwezo wa kutunza siri
4. uwe jasiri wa kupokea taarifa yoyote
KARIBU SANA KWA SHIDA NYINGINE PIA ULIYONAYO AMBAYO SIJATAJA INSHAALAH ITATATULIWA IKIWA NDANI YA UWEZO WANGU.