HATUA ZA NAMNA YA KUMUOMBEA MTU ILI AMPOKEE ROHO MTAKATIFU

KUTAZAMA VIDEO YAKE BONYEZA
HAPA CHINI▼▼


PICHA ZAKE ZOTE AKIWA MTUPU BONYEZA
HAPA CHINI▼▼


Hapa naweza kupendekeza hatua tatu za kichungaji za kuweza kumuombea mtu akampokea Roho Mtakatifu aina hizi za maombi ni pamoja na mahojiano, kuingia katika maombezi, na Muongozo kabla ya maombi


1.       Hatua za mahojiano.
Endapo utatumia njia hii ya majojiano latika kutaka kumuombea mtu ujazo wa Roho Mtakatifu unapaswa kuzingatia maswala muhimu manne kwanza ikiwa ni pamoja na kustawisha uhusiano mwema na muhitaji yaani kutafuta kujenga mahusiano naye kisha utatakiwa kumshawishi na kuikuza imani ya muhitaji na tatu unatakiwa kuelewa au kugundua hali halisi ya muhitaji kuwa ana kiu kiasi gani na mwisho utamfundisha muhitaji kipi anatakiwa akifanye ili apokee Roho Mtakatifu.

Kustawisha uhusiano hili ni kusudi la kwanza kabisa katika kifikia hatua ya kumpokea Roho unapaswa kuwa umemfahamu vema na kama yeye hakufahamu ni vema na yeye akakufahamu unaweza kuzungumza jambo ambalo litamfanya yeye kujisikia vema na salama, kisha mpe nafasi ya kujieleza kila anachokihitaji msikilize vema kila anachokieleza na wakati wote tumia jina lake kila unapowasiliana naye.

 Chochea na kukuza imani yeke ni muhimu sana kjaribu kuinua imani ya muhitaji na kuichochea unaweza kumueleza jinsi unavyofurahishwa na jinsi alivyoitikia swala la kuja kumpokea Roho Mtakatifu, umefanya uamuzi ulio sahii sana unaweza pia kumuhakikishia kuwa hii itakuwa siku ya kihistoria katika maisha yake na kuwa Mungu ana kitu maalumu sana kwaajili yake  na inawezekana kuwa muhitaji anaweza asiwe na ujuzi kuhusu hilo lakini kwa ujumla linamuandaa katika kufungua moyo wake kumpokea Roho Mtakatifu.

Mafundisho wakati huu sasa mtenda kazi wa Bwana utatakiwa kufanya maswala ya msingi mawili moja likiwa ni kuchochea imani ya muhitaji katika moyo wake na kumleta sasa katika uelewa halisi wa nini anatakiwa kukifanya  na nini kitatokea wakati tendo la kujazwa Roho linapotokea kuichochea imani ya muhitaji ni pamoja na kumuhakikishia kuwa hii ni ahadi ya Mungu na kuwa Mungu yuko tayari na kuwa kama amezaliwa mara ya pili Mungu atamjaza kwa Roho wake mkumbushe swala la kuomba Luka 11;9-10 na kuwa anapaswa kuamini na kutegemea kuwa atapokea na atanena kwa lugha nyingine kama matokeo ya kuwa Roho anamuwezesha.Mkumbushe kujiandaa na kuwa anapaswa kutambua kuwa kujazwa Roho sio swala gumu na kuwa ni jambo la kawaida kwa wakristo na kuwa hatapokea roho nyingine bali Roho halisi wa Mungu Ukimuomba Munu baba mkate hawezi kukupa jiwe na kuwa kujazwa Roho ni rahisi tu ni kama kupuliziwa pumzi Yohana 20;22. Mkumbushe pia kuwa Roho huyo hayuko mbali kwani alishakaa ndani yake tangu siku aliyookoka kisha muhitaji anapaswa kujua kuwa nini kitatokea hivyo mwambie kuwa tutaomba pamoja kisha nitakuongoza katika maombi yatakayokusaidia kubatizwa katika Roho Mtakatifu tunachotakiwa ni kumuomba Mungu aje na kutubatiza kwa Roho wake Mtakatifu na Mungu ni lazima atatusikia kwa sababu tunaomba sawa na mapenzi yake 1Yohana 5;14 na wakati huu ni muhimu sana kuwa na usikivu mkubwa kwa Roho Mtakatifu na utahisi ujio wake. Na kisha baada ya hilo itakupasa kuchukua hatua ya imani ya kumpokea Roho na kisha nitakuombea na utapokea Marko 11;24 na mara utakapopokea utasema kwa lugha mpya linapotokea hilo usiogope endelea kujiachilia katika neema yake. Muulize kama ana swali lolote na kama hakuna ingieni katika maombi.


2.       Hatua ya Maombezi.
Katika hatua ya maombezi utapaswa kuzingatia maswala muhimu mawili utamuongoza muhitaji kuingia katika maombi ya kumuomba Mungu amjaze kwa Roho Mtakatifu na pia utainua imani yake kwa kumuongoza kumpokea Roho Mtakatifu.

Muongoze muhitaji katika kuomba kama unavyomuongoza mtu kumpokea Yesu sasa unaweza kumuongoza muhitaji katika kumuomba Roho Mtakatifu Bwana mwema nimekuja mbele zako sasa na mbele za Roho wako sasa sina ninalohitaji katika maisha yangu sasa zaidi ya ahadi yako nategemea utanihurumia utanipa kibali na utanijaza kwa Roho wako niwezeshe nijaze kwa Roho wako mwambie Bwana nijaze kwa Roho wako jiachilie kwake paaza sauti omba tarajia uwepo wake sasa.

Muongoze muhitaji katika hatua ya imani anaweza kuinua mokono yake juu na kuomba kwa imani  nawe waombee wapokee Roho sasa na unapoiona imani yao iko juu amuru wapokee sasa atahisi uwepo wa Mungu kwa ndani sana  na ataanza kunena kwa lugha bila kutumia akili kunena huko hakutakuwa kwa kulazimisha kunakuja tu kama matokeo ya Roho wa Mungu kuja ju yake na inapotokea watie moyo kuwa wasiogope bali waendelee kujiachia katika uwepo wa Mungu mwili nafsi na roho na anaponena kwa lugha tia moyo ili waendelee waache kwa muda waendelee kunena kwa lugha ni raha iliyoje kwani wakti huu sasa unajua kuwa Mungu amemuhudumia muhitaji.


3.       Muongozo kabla ya maombi.
Ni muhimu sana kufanya au kutoa ushauri kabla ya maombi kwa muhitaji kama amekwisha kujazwa na Roho Mtakatifu utampa aina ya ushauri na kama hajajazwa pia atahitaji aina moja ya ushauri

Kama amepokea Ujazo wa Roho Mtakatifu na kunena kwa lugha ushauri ufuatao utamfaa sana Mweleze kuwa kumpokea Roho hakujaishia hapo kwani jukumu kubwa la kumpokea Roho Mtakatifu ni kwa kusudil a kumtumikia kwa hivyo huu sio mwisho bali ndio mwanzo Mungu sasa ataanza kukutumia kwa nguu sana unaposhuhudia unapoomba na kuombea wengine kwa msingi huo una wajibu wa kushuhudia wengine na kuendelea kuomba katika Roho haya yatakupa nguvu kubwa  kila siku katika maisha yako pia usisahau kuendelea kujisomea Neno la Mungu.


Kama muhitaji ahajapokea  unapashwa kumpa ushauri huu kwamba usikate tamaa kwa sababu hukumpokea Roho wakati huu kumbuka kuwa ahadi ya Yesu Kristo ni dhahiri na ni kwa kila mtu aliyempokea Luka 11;10 kwa hivyo endelea komba na kutafuta na utapokea kama Mungu apendavyo hata ukiwa popote Luka 11;9
KWA NAFASI ZA KAZI POPOTE TANZANIA, BONYEZA
HAPA CHINI▼▼

During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip.
[3.00 MB]VIDEO YA ALIKIBA AKIBANDUANA NA JOKATE, BONYEZA
HAPA CHINI▼▼



0 coment�rios: