SURA YA TATU: MAMBO YA MSINGI YA KUYAZINGATIA

KUTAZAMA VIDEO YAKE BONYEZA
HAPA CHINI▼▼


PICHA ZAKE ZOTE AKIWA MTUPU BONYEZA
HAPA CHINI▼▼


Tunapokwenda kumalizia kijitabu hiki naona ni muhimu nikikukumbusha kwa ufupi maswala matatu ya kuyazingatia unapomuongoza mtu kumpokea Roho Mtakatifu


1.       Ni muhimu kuwa na ujuzi wa kile Biblia inachokisema kuhusu somo hili
Ni muhimu kufahamu kuwa kama mtu anapenda kusaidia wengine kwa kusudi la kumpokea Roho Mtakatifu anapaswa kufahamu na kutafuta kujua kwa undani kuhusu somo la Roho Mtakatifu na hivyo atapaswa kusoma neno la Mungu hususani kitabu cha Matendo ya mitume ili kuona somo hili kivitendo na pia anaweza kusoma Vitabu vingine vizuri vinavyozungumzia kwa undani kuhusu Roho Mtakatifu kwa kadiri mtu anavyomjua Roho Mtakatifu na kazi zake  na utendaji wake katika maisha ya waamini  na umuhimu wake ndivyo anavyokuwa msaada mkubwa na Baraka katika swala hili.


2.       Usikubali uvivu wa kiroho ukuharibie wajibu wako
Kama unasaidia watu kumpokea Roho Mtakatifu ni lazima uhakikishe kuwa unaacha uvivu wa Kiroho kwa sababu sio kazi rahisi kuombea wengine kumpokea Roho Mtakatifu na ndio maana wengine wanaona aibu kufundisha somo hili na kutokujishuhulisha kuwafanya wengine wapokee Roho Mtakatifu na kama una tabia hii unapaswa kutubu, tubia uvivu wa Kiroho ulionao na jitoe kwa ukamilifu katika huduma na Mungu atakutumia


3.       Laizima ufikie ngazi ya kujihusisha sana.
Mwisho msomaji wangu ni muhimukufahamu kuwa kuombea wengine kumpokea Roho Mtakatifu kunaambatana na kufikia ngazi ya kujihusisha  sana na kutaka wengine wajazwe hili ni swala linalohitaji kujituma na kumaanisha na kuhurumia na kutia moyo wengine kupokea Roho wa Mungu uwe na Bidii katika kuomba na hapo utakuwa na mafanikio,  sasa tunafikia mwisho wa somo letu la jinsi ya kumuongoza mtu kupokea Roho Mtakatifu Ni matumaini yangu kuwa sasa utajiweka wakfu katika kazi hii muhimu kama nini na hii ndio kiu kubwa tuliyonayo kuwasaidia watu wajazwe na kuishi katika uwepo na nguvu za Roho wake siku zote za maisha yao Mungu akubariki ni matumaini yangu somo hili litakuwa Baraka na kuwa utalitendea kazi na kulifanya halisi katika maisha yako ya huduma na kuwa tangu sasa utakuwa ukiwafanyia watu maombezi ya kumpokea Roho Mtakatifu bila woga ubarikiwe na Bwana Neema yake iwe juu yako Amen!.
KWA NAFASI ZA KAZI POPOTE TANZANIA, BONYEZA
HAPA CHINI▼▼

During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip.
[3.00 MB]VIDEO YA ALIKIBA AKIBANDUANA NA JOKATE, BONYEZA
HAPA CHINI▼▼



0 coment�rios: