MAMBO MHIMI AU KUPIGANA VITA YA KIROHO KWA MAOMBI YA VITA.

KUTAZAMA VIDEO YAKE BONYEZA
HAPA CHINI▼▼


PICHA ZAKE ZOTE AKIWA MTUPU BONYEZA
HAPA CHINI▼▼


ANGALIA KWANZA MAMBO HAYA 
1. Kuomba kwa imani na utakatifu

Waebrania 11:6 '' Lakini pasipo imani haiwezekani kumpendeza; kwa maana mtu amwendeaye Mungu lazima aamini kwamba yeye yuko, na kwamba huwapa thawabu wale wamtafutao.''
Hautakiwi kuomba kwa imani tu bali omba kwa imani ukiwa msafi kwa MUNGU.
 Mathayo 5:8 '' Heri wenye moyo safi; Maana hao watamwona MUNGU. ''
Wenye moyo safi ni watakatifu waliosafishwa kwa damu ya YESUY KRISTO, hao ndio wakiomba kwa imani wanaweza kumwona MUNGU vyema katika maisha yao.
 Waebrania 12:14 '' ....... na huo utakatifu, ambao hapana mtu atakayemwona Bwana asipokuwa nao; ''
Yaani pasipo imani huwezi kumwona MUNGU akikutendea muujiza.Yaani pasipo imani huwezi kupokea muujiza wako kutoka kwa MUNGU.
Jambo la pili hapo hapo ni kwamba pasipo utakatifu huwezi kumwona MUNGU maana yake huwezi kuingia uzima wa milele na maana ya pili pasipo utakatifu huwezi kumwona MUNGU  akikutendea muujiza.
Hivyo wewe Muombaji shika kanuni hiyo ya kiroho kwamba ''Pasipo imani siwezi kumpendeza MUNGU na pasipo utakatifu siwezi kumwona MUNGU''
Kumbuka Biblia inasema katika Yohana 1:18 '' Hakuna mtu aliyemwona MUNGU wakati wo wote; MUNGU Mwana pekee aliye katika kifua cha Baba(MUNGU), huyu ndiye aliyemfunua.''
Kumbe Hakuna mwanadamu awezaye kumwona MUNGU kwa sura lakini Mathayo 5:8 inasema wenye moyo safi yaani watakatifu watamuona MUNGU, Yaani watakatifu wataingia uzima wa milele na kumwona MUNGU lakini pia watakatifu watasikiwa na MUNGU na kutendewa muujiza.
 Ndio maana leo unaweza ukasikia mtu nasema kwamba ''Hakika nimemuona MUNGU'' Je amemuonaje?
Jibu ni kwamba ametendewa muujiza na MUNGU yaani amemuona MUNGU kupitia alichokifanya MUNGU kwenye maisha yake.

2. Kuomba katika jina la YESU KRISTO.

Kuomba katika jina la YESU KRISTO inajumuisha mambo mawili.
A. Kuomba ukilitaja na kulitegemea jina la YESU ili ushinde.
Yohana 14:13 ''Nanyi mkiomba lo lote kwa jina langu(YESU KRISTO), hilo nitalifanya, ili Baba(MUNGU) atukuzwe ndani ya Mwana. ''

B. Kumtii YESU KRISTO na Neno lake.
Kumtii YESU KRISTO ni kibali cha kupokea hitaji lako.
Yohana 15:16 ''Si ninyi mlionichagua mimi(YESU), bali ni mimi niliyewachagua ninyi; nami nikawaweka mwende mkazae matunda; na matunda yenu yapate kukaa; ili kwamba lo lote mmwombalo Baba(MUNGU0 kwa jina langu awapeni. '' 
Ndio maana Biblia inasema kila alitajaye jina la YESU KRISTO na auache uovu.
2 Timotheo 2:19 ''Lakini msingi wa MUNGU ulio imara umesimama, wenye muhuri hii, Bwana awajua walio wake. Na tena, Kila alitajaye jina la Bwana(YESU) na auache uovu.''

3. Kuomba katika ROHO MTAKATIFU.

Kuomba katika ROHO MTAKATIFU inajumuisha mambo mawili.
1. Kunena kwa lugha katika ROHO MTAKATIFU.
 Marko 16:16-17 "Aaminiye na kubatizwa ataokoka; asiyeamini, atahukumiwa. Na ishara hizi zitafuatana na hao waaminio; kwa jina langu watatoa pepo; WATASEMA KWA LUGHA MPYA;"

2. Kuomba kwa kuongozwa na ROHO MTAKATIFU au kujulishwa na ROHO MTAKATIFU.
 Yuda 1:20 "Bali ninyi, wapenzi, mkijijenga juu ya imani yenu iliyo takatifu sana, na kuomba katika ROHO MTAKATIFU,"



KWA NAFASI ZA KAZI POPOTE TANZANIA, BONYEZA
HAPA CHINI▼▼

During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip.
[3.00 MB]VIDEO YA ALIKIBA AKIBANDUANA NA JOKATE, BONYEZA
HAPA CHINI▼▼



0 coment�rios: