Jinsi Ya Kumpokea Roho Mtakatifu

KUTAZAMA VIDEO YAKE BONYEZA
HAPA CHINI▼▼


PICHA ZAKE ZOTE AKIWA MTUPU BONYEZA
HAPA CHINI▼▼




SURA YA KWANZA: MAMBO YA MSINGI YA KUZINGATIA.
Kabla ya kujadili kuhusu hatua za kumuongoza mtu anayetaka kubatizwa katika Roho Mtakatifu kwa mara ya kwanza ni muhimu kwetu kuzingatia maswala muhimu yafuatayo. Kwanza ni nani anaweza kujazwa na Roho Mtakatifu, Pili ni nani anaweza kuomba na wengine kumpokea Roho Mtakatifu na Tatu Mambo yanayoambatana na kumpokea Roho Mtakatifu.


Kwanza Ni nani anaweza kujazwa Na Roho Mtakatifu


Roho Mtakatifu ni ahadi ya Mungu Baba na inaweza kupokewa na mtu yeyote aliyezaliwa mara ya pili yaani aliyeokoka, hili ni jambo la msingi. Kwa msingi huo kupokea Roho Mtakatifu sio swala la wakristo waliofikia ngazi Fulani ya kiroho au waliookoka muda mrefu a kufikia ukomavu Fulani wa kiroho wala sio kwa daraja la watu Fulani muhimu katika dhehebu Fulani ni ahadi ya Mungu kwa wakristo wote wamjiao Bwana kwa kila kizazi Matendo ya Mitume 2;17-18,38-39.


Pili Ni nani anaweza kuomba Na wengine kumpokea Roho Mtakatifu


Kumbuka kuwa swala la kuombea wengine kumpokea Roho Mtakatifu pia sio la watu Fulani maalumu hili ni la kila mtu ambaye amekwisha jazwa nguvu na kumpokea Roho Mtakatifu na sharti la kutaka kuwaombea wengine ujazo wa Roho Mtakatifu ni kutamani kuona wengine wakipokea ahadi hii yenye Baraka na kufurahia kuona wengine wakibarikiwa na kutumiwa na Mungu Matendo 8;14-17.



Mambo yanayoambatana na kumpokea Roho Mtakatifu.



Ni muhimu kwa kila mtenda kazi kuwa na ufahamu kwamba kuna maswala matano muhimu yanayohusika kama ishara ya mtu kumpokea Roho Mtakatifu maswala hayo ni shauku au hamu, Imani, maombi, utii, na kujiachilia katika neema ya Mungu.



1.       Shauku au Hamu.
 Biblia inakazia umuhimu wa kuwa na kiu au shaku au hamu Biblia inasema “Heri wenye njaa na kiu ya haki maana hao watashibishwa” Mathayo 5;6, mtu mwenye njaa na kiu humtafuta Mungu kwa Bidii na kila unapomtafuta Mungu kwa bidii hupatikana Yeremia 29;13,”Nanyi mtanitafuta na kuniona  mtakaponitafuta kwa moyo wenu wote” Tafuteni nanyi mtaona Luka 11:9 Mtu awaye yote mwenye kiu na hamu na shauku na kuvumilia katika kutamani kuendelea kujazwa na nguvu za Roho Mtakatifu atapewa, kwa hiyo kiu na hamu au shauku ni ya Muhimu sana.



2.       Imani.
Imani ni nguzo ya msingi na muhimu katika kupokea nguvu za Roho Mtakatifu au kiu chochote kutoka kwa Mungu, Paulo anawakumbusha wakristo wa Galatia kuwa walimpokea Roho Mtakatifu kwa imani na sio kwa kutokana na matendo ya sheria ni kwa kuamini Wagalatia 3;2 Yesu alisema yeyote Aniaminiye mimi  kama vile maandiko yalivyonena mito ya maji yaliyo hai (yaani Roho Mtakatifu) atatiririka ndani yake Yohana 7;38 kwa msingi huo ni wajibu wa kila mtu anayetaka kuwaombea wengine ujazo wa Roho Mtakatifu kuwapandisha wapokeaji wake imani

 3.       Maombi.
 Roho Mtakatifu hutolewa kama jibu la maombi yanayoambatana na imani, Yesu alisema ombeni nanyi mtapewa Luka 11;9, sehemu nyingine alifundisha akisema kila muombalo aminini ya kuwa limekuwa lenu Marko 11;24-25, Kumbuka kuwa wakati Yesu alipokuwa anaomba ndipo Roho alipompaka mafuta Luka 3;21-22, ni jambo kama hilo liliwatokea wanafunzi siku ya Pentekoste walikuwa wamejifungia wakiomba Matendo 1;14, Kabla Paulo mtume hajajazwa Roho alikuwa na Muda wa kuomba Matendo 9;11 kwa msingi huo kila mtu anayetaka kujazwa na nguvu za Roho Mtakatifu anapaswa kuomba kwa bidii na kwa sauti kubwa.



4.       Utii.
Moyo wa utii ni wa muhimu sana katika kumpokea Roho Mtakatifu, Petro alisema Mungu anampa Roho Mtakatifu kwa wote wamtiio Matendo 5; 32, alikuwa akizungumza kuhusu wale watakaomtii Mungu na kuiamini injili yake Mstari 29-32 na kusudi la msingi la kumpokea Roho Mtakatifu pia ni kwaajili ya kushuhudia Matendo 1;8 na Mungu Yuko tayari kumpa nguvu kila mtu ambaye yuko tayari kwaajili ya kazi yake na kutii agizo kuu.



5.       Kujiachilia katika neema ya Mungu.
 Kujiachilia kwa Mungu au kujinyenyekeza ni moja ya hatua nyingine muhimu katika kumpokea Roho Mtakatifu, Kama ilivyo kwa mtu anayebatizwa katika maji anapaswa kujinyenyekeza kwa Mchungaji anyembatiza, Kujazwa kwa Roho Mtakatifu nako kwahitajiwa kwa mtu kujiachilia katika neema ya Mungu ni lazima ukubali kufuata maelekezo ya Bwana huku ni kujiachia Mwili nafsi na roho Warumi 6:13, 12:1 ni kwa kupitia kujitoa na kujinyenyekeza katika neema yake ndipo Roho wa Mungu anachukua nafasi na hatimaye kukuwezesha kuzungumza kwa lugha.
KWA NAFASI ZA KAZI POPOTE TANZANIA, BONYEZA
HAPA CHINI▼▼

During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip.
[3.00 MB]VIDEO YA ALIKIBA AKIBANDUANA NA JOKATE, BONYEZA
HAPA CHINI▼▼



0 coment�rios: