AINA YA MIFUNGO:

KUTAZAMA VIDEO YAKE BONYEZA
HAPA CHINI▼▼


PICHA ZAKE ZOTE AKIWA MTUPU BONYEZA
HAPA CHINI▼▼



Image result for picha neno la mungu
AINA YA MIFUNGO:
1. Mfungo kamili
Katika mfungo huu hakuna kula kabisa chakula kigumu bali waweza kunywa maji au kimiminika chochote cha kukusupport.
Siku ngapi waweza kufunga mfungo wa aina hii unategemea na neema na malengo yako katika mfungo huo. Wengine huenda siku moja, mbili, tatu, wiki, n.k n.k

2. Mfungo nusu
Mfungo nusu huanzia saa 12 asbh hadi saa 9 mchana au kuanzia jua linapoibuka hadi linapozama. Mfungo ambao madhehebu mengine wamewazoeza waumini wao kuufanya. Wengine wameweza kuufanya kila ijumaa. Madhehebu ambayo yamewazoesha watu wao kufunga angalau kila wiki mara moja wameweza kuwa na mafanikio makubwa sana katika kuzifungua nira na vifungo mbali mbali

3. Mfungo wa Daniel
Daniel alifunga mifungo miwili ya aina yake;
• Katika Sura ya I Daniel alifunga alikula mboga mboga tu (Yaweza kuwa alikula mboga mboga na juisi Fulani Fulani)
• Katika sura ya 10 Daniel alifunga kwa siku 21 kwa kutokula chakula kitamu, wala nyama wala divai haikuingia kinywani mwake”

Ngoja nikomee hapa kwa leo hadi wakati mwingine na Mungu akubariki sana na kama umependezwa na ujumbe huu hebu share na mwingine ili naye abarikiwe.

Nakushukuru sana wewe ambaye umekuwa ukibarikiwa na neno la Mungu ambalo tumekuwa tukijifunza pamoja kwenye huduma hii na umeona ni vema kuungana nasi kuwafikishia pia wengine injili (hasa walioko vijijini) kwa njia ya vipeperushi. Nawashukuru wote mnaoendelea kujitoa kwa ajili ya hili. Lengo letu ni kutengeneza vipeperushi angalau 5,000 kwa mwezi. Kipeperushi 1 ni tshs 250 tu. Kama unabarikiwa na neno ambalo tumekuwa tukishirikishana naamini utapenda pia watu walioko mazingira yasiyokuwa na Internet wafikiwe na injili hii kwa njia ya vipeperushi.

Ungana nasi kwenye huduma hii kwa kadri ya kufanikiwa kwako na Mungu akubariki. ‘Apandaye haba atavuna haba; apandaye kwa ukarimu atavuna kwa ukarimu. Kila mtu na atende kama alivyokusudia moyoni mwake, si kwa huzuni, wala si kwa lazima; maana Mungu humpenda yeye atoaye kwa moyo wa ukunjufu. Na Mungu aweza kuwajaza kila neema kwa wingi, ili ninyi, mkiwa na riziki za kila namna siku zote, mpate kuzidi sana katika kila tendo jema” #2KOR. 9:6-8. Hebu fanya kazi nasi kwa njia hii kwa kupenda. Ukichangia hata vipeperushi 2 (tshs 500 tu) kwa wiki au kwa mwezi waweza kuwafikishia injili watu zaidi ya 10. Utakuwa umeshiriki utume mkuu pamoja nasi. Basi changia kwa kadri ya kufanikiwa kwako.

YASIYOWEZEKANA KWA WANADAMU, KWA MUNGU YOTE YANAWEZEKANA.

KWA NAFASI ZA KAZI POPOTE TANZANIA, BONYEZA
HAPA CHINI▼▼

During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip.
[3.00 MB]VIDEO YA ALIKIBA AKIBANDUANA NA JOKATE, BONYEZA
HAPA CHINI▼▼



0 coment�rios: