JAMBO LA PILI MTAKWENDA NA KUNIOMBA.

KUTAZAMA VIDEO YAKE BONYEZA
HAPA CHINI▼▼


PICHA ZAKE ZOTE AKIWA MTUPU BONYEZA
HAPA CHINI▼▼


JAMBO LA PILI MTAKWENDA NA KUNIOMBA.
Sasa baada ya kuwa umemuita mungu kinachofuata ni kwenda na kumuomba mungu. Anaposema mtakweda na kuniomba ana maana mtaanza kuomba sawasawa na vile nilivyowaonyesha au nilivyowafunulia wakati mliponiita katika haja zenu.hivi ulishawahi kujiuliza ni mambo gani makubwa na magumu ambayo mungu atakuonyesha_pindi utakapomuita?. Kumbuka tulikotoka tumeona kumuita mungu ni kumfanya mungu akufunulie mambo usiyoyajua kuhusu hitaji lako ili ujipange vizuri kuyaombea.

Sasa kwenda na kuomba maana yake ni kuomba sawasawa na vile mungu alivyojifunua kwako kuhusu hitaji ulilonalo.utakapoomba namna hii ndiko kunaitwa kuomba sawasawa na mapenzi ya mungu maana yake unaombea mambo ambayo mungu anataka uyaombee kwa wakati huo. Kwa lugha nyepesi jifunze kuomba mambo ambayo mungu anakuongoza kuyaombea. Labda nitoe mifano michache ndio somo litaeleweka vema.

Mfano wa kanza huenda mnaombea mgonjwa au mtu aliyefungwa na mapepo. Ni kweli biblia imesema mtaweka mikono juu ya wagonjwa nao watapata afya.sasa si kila mgonjwa ni wa kuweka mikono na kuanza kukemea ugonjwa au mapepo, kuna magonjwa mengine yanasababishwa na mawazo yaani tatizo ni mtu mwenyewe, mwingine huenda ni kwa sababu ya kujeruhiwa nafsi yake na mwingine huenda ni kwa sababu ya dhambi, na mwingine huenda mikataba aliyoingia mwenyewe na mapepo na huenda mengine ni mungu mwenyewe ameruhusu shetani aguse afya ya huyo mtu kama alivyomruhusu shetani kwa ayubu nk..

Saa nafikiri mpaka hapa umeshaona si wagonjwa wote utakawawekea mikono watapona. Hivyo ni vema umuite mungu akufunulie nini cha kufanya, mwingine atakuambia huyu anahitaji ushauri tu wala si maombi,mwingine anaweza kukuambia huyu ametenda dhambi hii na hii akizitubia nitamponya, na mwingine atakuambia huyu hicho ni kipimo chake mpe tu neno la uvumilivu na ushindi,mwingine atakuambia huyu ndugu mwenyewe au wazazi wake waliingia mkataba na mapepo hivyo vunja kwanza mktaba huo nk.

Mfano wa pili,huenda mnaombea kanisa lenu. Ni rahisi kusema tumuombe mchungaji ndani ya kanisa,mara tuombee kamati ya ujenzi tuombe mungu kuhusu ujenzi nk.kweli ni maombi mazuri lakini una uhakika mungu kwa wakati huo anataka muombee hayo mambo.huenda kuna roho ya mpinga kristo ina vamia washirika au kuna maajenti wanajiingiza kwa siri makanisani na kuwapofusha macho ninyi mnakazana kuombea ujenzi. Maana yangu ni hii ikiwa wewe ni mchungaji au kiongozi wa maombi katika kundi lolote lile ni vema kila wakati kumuita mungu akupe mambo ya kuombea kwa wakati huo. Mungu atakufunulia nini unachotakiwa kuombea kwa wakati huo.

Nina ujasiri na ninachokisema kwa sababu siku moja tukiwa katika kambi la vijana.nilikuwa kwenye timu ya maombi ya hilo kambi.ndani ya hiyo timu tulikuwa na wajumbe wa shetani kutoka kuzimu yaani maajenti (vibaraka wa shetani).hawa jamaa walikuwa wakiomba na kufimga kuzidi masaa yale tuliyokuwa tukifunga sisi.na wakati wa kuomba walikuwa wanapendekeza tuombee na kukemea roho ambazo hazifanyi kazi katika lile eneo tulilokuwepo.na walikuwa wanajita watumishi wa mungu.nina uhakika wa habari hii kwani mungu alinifungua macho tukaomba na nguvu za mungu ziliposhuka mmoja wo akasema “sisi ni wajumbe wa shetani kutoka kuzimu,tulitumwa kuleta uharibifu lakini katika yale tuliyotumwa tumeshindwa kuyatekeleza”.

Nakuambia tangia siku hiyo ndipo nilipofunguka macho yangu ya ndani na kuanza kuhitaji uongozi wa mungu katika yale tunayoomba kila siku.hujawahi kuona kiongozi wa maombi anasema jamani hee tutaombea hili na hili na hili,lakini mnapoanza kuomba unakuta mungu anakuongza kuombea vitu vingine kabisa ?.
Kumbuka siku zote katika kila unaloliomba ,mwambie mungu nifunulie zaidi kuhusu mambo ya kuomba kuhusu hili jambo.lwe ndoa,kanisa,mkutano au semina,watoto,elimu nk sasa nimalizie kwa kusema kuomba kwa namna hii ndiko kibiblia kunaitwa kumtafuta bwana.sikiliza huwezi kumtafuta mtu mahali asikopatikana.unapomtafuta bwana ni lazima umtafute kwenye maeneo yake yaani kule anakopatikana.sasa kunaitwa kumtafuta bwana kwa sababu umeomba kulingana na ufunuo wake
Ni imani yangu kuwa baada ya kuwa umesoma ujumbe huu basi naamini umeshapata maarifa ya kukusaidia katika kumtafuta bwana na hivyo kwa jambo lolote utakalotaka kuomba siku zote utaomba kwanza ufunuo wa mungu juu ya hili jambo.

IMANI YAKO ITAKUPONYA, MWAMINI BWANA YESU LEO
Kila mwaka tarehe 1 / 12 ni siku ya kuadhimisha janga la ukimwi kwa kuwa na ujumbe mbalimbali jinsi ya kutokomeza na kuelemisha watu jinsi ya kujikinga na kuzuia maambukizo mapya ya virusi vya ukimwi na vile vile kuishi kwa matumaini kuhusiana na ugonjwa huu. Japo kuna baadhi ya maeneo elimu bado sijui niseme ni changa au haijawafikia walengwa vizuri, na  la kushangaza yakiwemo baadhi ya maeneo ya mijini yakiongoza kwa asilimia kubwa ya kuwa na maongezeko mapya ya mambukizi ya virusi vya ukimwi. Swali la kujiuliza ni kuwa watu hawataki kuelewa au ni elimu imezoeleka kiasi kwamba watu wanaona hakuna jipya au maisha ndio yanawalazimisha kutokuzingatia yanayosemwa. Au je waelemishaji nao pia hawana elimu ya kutosha ya kuwaelimisha watu / watoaji elimu ni wachache kuliko walengwa / walioathirika? Au wamekosa imani na asasi / ngo zinazotoa huduma hii? Ukiangalia kwa mtazamo wa kawaida tu kuna asasi/ngo mbalimbali zimeazishwa kwa ajili ya kusaidia na kuelimisha waathirika wa ukimwi / na ambao bado hawajapata maambukizi pamoja na watoto yatima na wajane. 

Je wanatoa elimu sahihi na yakutosha? Kama ndio kwa nini kuna ongezeko kubwa la watoto yatima na maabukizi mapya yanaibuka siku hadi siku? Au waanzilishi  wa hizi asasi / ngo wanatafuta maslahi yao wenyewe kwa kupitia mgongo wa walioathirika badala ya kutoa elimu ya sahihi na ya kutosha? Japo kwenye takwimu zinaonyesha kuwa tanzania imeshuka kwenye kiwango cha maambukizi ya ukimwi ukilinganisha na nchi nyingine za africa. Je hili nalo ni kweli yanaweza kuwa ongezeko la maambukizi mapya limepungua wakati bado tunashuhudia watoto yatima wakiongezeka kutokana na hili janga? (tutafakari hili) mimi sina jibu ila haya yote ni mtazamo wa kibinadamu tu. Hebu tungalie biblia inatuambia nini kwa habari ya magonjwa? Je kuna ambalo linashindikana kwa bwana? Kama yeye alitufinyanga kwa mikono yake si anajua kila sehemu ya viungo vyetu hivyo ni rahisi yeye kuturekebisha pale penye madhaifu na kupatia uzima. Hebu tuone biblia inasema nini basi kwa habari ya uponyaji....

Ukisoma kwenye biblia zetu utaona kwamba ukoma ndio uliokuwa ugonjwa mbaya sana na ulikuwa unatishia watu enzi hizo za kale pia ulikuwa ni ugonjwa usioponyeka lakini watumishi wa mungu walikuwa wanauwezo wa kuwaponya watu kutokana na ugonjwa huu kilichokuwa kinahitajika ni imani na kutii tu, kwa mfano naaman aliyekuwa unaukoma lakini alipokea uponyaji. Soma 2wafalme 5: 8-19 na pia soma mathayo 8:1-4 yesu anaponya ukoma.

Japo kwa jambo la kushangaza na la kuhuzunisha ni kuwa huu ugonjwa hadi sasa upo toka enzi za akina musa hadi leo lakini je ni kwamba dawa za kuuponya huu ugonjwa haijapatikana? Imepatikana na ipo sema watu hawatilii maanani. Wako wapakwa mafuta wa bwana ambao wamepewa karama ya kuponya wanaponyesha huu ugonjwa, kadhalika na ukiwmi pia wako watumishi wapakwa mafuta wa bwana waliopewe karama ya uponyaji wako kukusaidia leo. Kama huu ukoma ambao ulikuepo toka enzi hizo za akina musa unawezekana kuponyeka kwanini watu wasiamini kuwa hata ukimwi waweza kupona? Ukimwamini mungu na kuyashika maagizo yake na kutii hakika utapona.

Mfano wa mwanamke aliyetoka damu kwa miaka kumi na miwili biblia inatuambia kuwa yule mwanamke aliazimia kuwa akiweza kushika tu upindo wa vazi aliyovaa yesu hakika atapona na kweli alivyofanya hivyo kwa imani yake kuu aliyokuwa nayo alipokea uponyaji muda ule ule soma mathayo 9 : 20 - 22; pia kwenye marko 5: 25-34; sasa je wewe wawezaje kukata tamaa na kushindwa kumwammini yesu kuwa kwa jina lake tu magonjwa yanatoweka hayatakuwa na nafasi tena ndani ya maisha yako utapona na utakuwa na nguvu na mwenye afya tele. 

Kama bado haujaambukizwa acha njia zako mbaya mtafute yesu shika maagizo yake na kuyatenda hakika atakuponya na hili janga wewe na familia yako na watu wa nyumbani mwako. Ingawa unaweza kuwa mwaminifu, waweza kuwa unatenda yaliyo mema kwa mtazamo wa kibinadamu lakini bado ukaupata huu ugonjwa kwa njia nyingine kwa mfano katika ajali kama ya gari, pikipiki au njia yoyote ile nk. (unajua kuwa maambukizi waweza pata kwa njia nyingi si kwa kuzini tu japo kuzini ndio njia kubwa ya maambukizi haya ya virusi vya ukimwi). Lakini ukimtegemea mungu na kukubali kuwa yesu alikufa msalabani kwa ajili yako  na kuyatenda yote aliyokuamuru, hali hii haitakupata wewe na familia yako kwa ujumla na hata hutaacha wanao yatima bali utaishi hadi miaka mia na ishirini na utakufa ungali ukiwa na nguvu zako.

Yesu alifanya miujiza mingi ya uponyaji na hata sasa bado anafanya kwani anawatumia watumishi mbalimbali kufanya kazi aliyoianzisha kinachoturudisha nyuma ni kutokutilia maanani na imani kuwa haba kama nilivosema hapo juu. Watu tumekuwa na kiburi tukidhani kuwa wanayofanya watumishi wa mungu ni ya uongo lakini mimi nakusihi leo hebu mwamini yesu halafu utaona matunda yake na hakika hautajuta. Soma mistarii hii ikusaidie kwa habari ya imani katika uponyaji mathayo 8 : 5-13; mathayo 8 : 14-17;
Mathayo 9 : 27 - 31 n.k.

Mwamini yeye leo mtumainie bwana peleka haja zako kwake naye atatenda, atakushindia na pia atakuponya, usikate tamaa usihangaike ikuze imani yako kwa kusikiliza na kusoma neno la mungu mara kwa mara kwani biblia inasema hivi "imani chanzo chake ni kusikia na kusikia huja kwa neno la kristo"
Warumi 10 : 17 kisha mweleze shida yako peleka haja zako kwake naye atafanya. Pia yesu anasema hivi, hata ukiwa na imani kiasi cha punje ya haradali ukisema mlima huu ung'oke mahali hapa uende kule, nao utang'oka. Hivyo basi na uponyaji wako unahitaji imani yako kidogo tu kama punje ya haradali kwa yesu kuwa anaweza kukuponya nawe utapokea uponyaji. Tumwamini yeye tuuone mkono wa bwana ukitenda ndani ya maisha yetu.

 MAOMBI, UPONYAJI NA UREJESHAJI
(yakobo 5:13-20)
Somo limekaa kimtazamo kwamba mwalimu anatumia ubao au sehemu nyingine yoyote ambayo inaweza kuonekana na wanafunzi. Kama huwa una kawaida ya kupokea somo hili kwa njia ya barua pepe na hukulipata kwa juma moja, unaweza kulipata kwa kubofya kwenye >>nguvuyamungublog.blogspot.com>>kwa lugha ya kiswahili na kwa lugha ya kiingereza pamoja na lugha nyingine kama vile kifaransa, kijerumani. Omba kwa ajili ya uongozi wa roho mtakatifu unapojifunza.


KWA NAFASI ZA KAZI POPOTE TANZANIA, BONYEZA
HAPA CHINI▼▼

During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip. During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip.
[3.00 MB]VIDEO YA ALIKIBA AKIBANDUANA NA JOKATE, BONYEZA
HAPA CHINI▼▼



0 coment�rios: